BIMA YA BIASHARA

Kama ilivyo kwa mambo mengine,Biashara pia huwa katika hatari ya kukumbwa na majanga mbali mbali , iwapo mfanya biashara hatajikinga na majanga haya anaweza kupata anguko kubwa la kibiashara na kupoteza mali aliyoifanyia kazi kwa muda mrefu. Bima hii ya biashara imebuniwa ili kukuletea ma suluhisho mbalimbali ya bima kutokana na uhitaji wako.Kama kampuni tutatathimini na na kukushauri ni aina gani ya bima itakufaa katika biashara yako.

Faida za bima hii ni zipi?

  1. Una machaguo mengi ya kipi unataka: Tutakushauri aina ya bima inakayofaa kwa aina ya biashara unayofanya ili kuilinda biashara yako dhidi ya majanga tofauti.
  2. Tunaweza kukutengenezea kifurushi maalumu: Tuna uwezo wa kukaa na kukubaliana na wewe juu ya kifurushi maalumu cha bima unachokihitaji.kwa ajili ya biashara yako.
  3. Ni rahisi na uhakika: Unaweza kulipia bima yako kwa machaguo yako uliyochagua na kupewa nyaraka moja iliyorahisishwa maelezo yote ya biashara yako.
  4. Tuna linda biashara ndogo na za kati(SME): Bima hii itakulinda hata wewe mwenye biashara ndogo ndogo kama duka la vinywaji, duka la nguo, duka la internet, duka la nyama , duka la dawa, maduka ya vinyozi, maduka ya vifaa vya umeme na mengineyo.

Kickstart your Business Insurance journey with us

Jambo La Kuzingatia

We also compensate you for the accidental loss or damage to portable property that you use outside the premises to run your business, if you take up Section C: All Risks. This can include all office electronic equipment (including servers, desktop computers etc), laptops, mobile phones, projectors, camera equipment, workshop tools and so on.

iStock-638596542 (1)

Iwapo utataka kuwasiliana na sisi tafadhali tupigie +255 22 277 4999+255 22 277 5039 au omba kupigiwa kwa ku bonyeza hapa  

Book a call

enter your details so we can schedule  a call for you

Ni vitu gani vya msingi vipo ndani ya bima hii ya biashara?

Kipengele A: Bima ya Moto:

Hii ni bima unayokata kwa ajili ya mali zako ili ikulinde dhidi ya madhara  yanasosababishwa na moto na vianzilishi vingine vya majanga. 

Kipengele B: Bima ya Wizi:

Hii ni bima ambayo itakulipa fidia kutokana na upotevu au uharibifu wa mali uliotokana na vitendo vya wizi/ujambazi uliofanywa kwa kuvunja na kuingia kwenye jengo lako.

Kipengele C: Bima ya vifaa vyote:

Hii ni bima inayokatwa kwa ajili ya mali au vifaa vyote ambavyo havijahusika au kutajwa kwenye kipengele A & B hapo juu.

Kipengele D: Kinga dhidi ya majanga ya kijamii:

Kipengele hiki  hukatwa na wafanyabiashara ili kujikinga na madhara yanayoweza kuwapata watu waliokuja katika sehem ya biashara yako  ambao wanaweza kukufungulia mashtaka dhidi ya hasara au tatizo lilijojitokeza.

Kipengele E: Bima ya Fedha:

Hii ni bima ambayo inakulinda dhidi upotevu wa hela wakati zikipelekwa au kutolewa benki , au ndani ya jengo lako kwa kuibiwa pesa au kuibiwa  kwenye kabati ya kuhifadhia  pesa.

Kipengele F: Kinga ya Muajiri.

Hii ni bima inayokatwa na mwajiri kujikinga dhidi ya mashitaka yoyote ya kisheria yanayoweza kuletwa na mfanyakazi wa ndani kutokana na ajali, magonjwa,kifo majeraha yaliyotokea akiwa katika majukumu ya kazi.

What other important information should I know about Business insurance

Visit our Knowledge base

What Other Types Insurance Does ICEA LION Have?

Investment done
right

For a little as Kes 500/- and with the right partner to back you up, the only way for your investments is up

Need Help?

I’m Here To Assist You

Something isn’t Clear?
If you would like to talk to us in person, you can call us on +255 22 277 4999, +255 22 277 5039 or request a call back by clicking here.

Kindly note that client login is only available to existing ICEA LION customers
Click here to proceed to the Self Service Portal if you are already a client of ICEA LION.
Otherwise, see products available to buy online